Miongoni mwa matukio yenye kugusa maisha ya waumini, parokia imeendelea kutoa nafasi za kuwaimarisha wanandoa, wazazi na vijana walio katika hatua mbalimbali za maisha. Kwa njia ya mafundisho, ushauri wa kiroho na sala za pamoja, familia zimepata fursa ya kutafakari wajibu wao wa kujenga nyumba zenye upendo, msamaha na maelewano. Tukio hili lilionesha wazi kuwa […]
Homilia
Homilia za kila jumapili
Vijana na Familia Wanaalikwa Kusonga Mbele
Parokia inaendelea kuwahimiza vijana na familia kushiriki katika semina, mafungo, makongamano na vipindi vya malezi ya kiroho vinavyosaidia kukua katika maisha ya imani na maadili. Vijana ni nguvu ya Kanisa la leo na la kesho; familia ni shule ya kwanza ya imani, upendo na maadili mema. Kwa pamoja, vijana na wazazi wanaalikwa kuwa mfano wa […]
Wito wa Kujenga Jumuiya Hai
Parokia inawakumbusha waumini umuhimu wa kuhudhuria mikutano ya jumuiya ndogondogo, mafundisho ya imani, na shughuli za kichungaji zinazolenga kuimarisha maisha ya Kikristo. Jumuiya ndogo ndogo ni msingi wa umoja wa waamini na daraja la kushirikiana katika sala, mafundisho, na matendo ya huruma. Kupitia jumuiya, familia zinapata nafasi ya kuombeana, kusaidiana na kukua pamoja katika maisha […]
